Tuesday, January 16, 2018

WEWE NI NANI KUBADILI SURA NA MFANO WA MUNGU????


MWANADAMU NI NANI KUBADILI SURA NA MFANO WA MUNGU.

Mwanadamu ni nani amjibuye Mungu???

Warumi 9:20 
"20 La! Sivyo, Ee binadamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! Kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba kwanini kuniumba hivi?
Hamjui ya kuwa mwili ni hekalu la Mungu? 

chochote unachokifanya, kwa huo mwili Mungu anakuangalia....Sasa sikia hili, Mungu ni Roho na palipo Roho wa Bwana kuna  uhuru.
Kama unasema una huyo Roho wa Mungu, UTAKAA MBALI NA  DHAMBI.

Na Isaiah Membe, mtumwa wa Kristo!

No comments:

Post a Comment