WAIGIZAJI MADHABAHUNI.
Mathayo 24:24-25
Mengi sana yamefanyika kuudharilisha mwili wa kristo, manabii na mitume wengi wauongo wametokea ambao wanamajengo makubwa ya makanisa na umati mkubwa wa watu na
Wako kila mahali duniani. NI WAIGIZAJI SIO WACHUNGAJI.
Dalili zao;
✔Wao wenyewe staili zao za kunyoa ni mapunk.
✔Katika vidole vyao wamejaza mapete.
✔wanaruhusu watu kujipamba na kuvaa nywele bandia.
✔Hawahubiri utakatifu katika makanisa yao.
✔Wanapenda kujiita majina makubwa makubwa.
✔Wanauza pafyumu, vitambaa na mafuta ya upako kwa ajili ya uponyaji.
✔Wanasema punyeto sio dhambi.
✔Wanasema mtu ukiokoka umeokoka moja kwa moja.
✔Hawahubiri juu ya unyakuo wa kanisa, ni mafanikio tu ya kimwili.
✔Bidii yao ni kutangaza miujiza yao ili watukuzwe wao.
Kama utaendelea kwenda kwenye makanisa ambayo viongozi wake ni waigizaji sio wachungaji;
🔹utaikosa mbingu wakati wa unyakuo wa kanisa.
🔹Hutaweza kuielewa biblia kwa ufasaha na kwa tafsiri halisi.
🔹Huwezi kuwa imara katika kristo.
🔹Huwezi kuwa na tofauti yeyote na mataifa(watu ambao hawajaokoka).
🔹Dhambi bado itaendelea kukutawala.
🔹huwezi kuwa na maandalizi yeyote ya kwenda mbinguni.
🔹utakuwa mtu wa kidunia kawaida tu na mbingu utaikosa.
JINSI YA KUFANYA:
✔Toka hapo..kimbia hapo si mahali salama kwa roho yako..
✔Nenda,
mahali wanapohubiri utakatifu wa mwili na roho kwa msisitizo.
mahali ambapo dhambi inakemewa kwa uwazi kabisa! Utakuwa salama na nafasi kubwa ya kunyakuliwa na kuingia mbinguni.
No comments:
Post a Comment