ANAE VAA NYWELE BANDIA(WIGI) ANAABUDU MIUNGU BILA KUJUA..
Kama ulikuwa hufahamu ni kwamba mawigi kwa asilimia kubwa yanatokana na nywele za wahindi.
Nywele hizi zinatokana na hekalu moja kubwa sana na maarufu sana India linaloitwa VENKATESWARA TEMPLE, ambapo wanamuabudu mungu(sanamu) wanaemwuita vishnu au lord balaji»» angalia www.tirumala.org«««.
Kinachofanyika sasa ni kwamba wahindi wengi hutoa sadaka nywele zao kwa hio miungu yao kwa kunyolewa nywele zote na kuwekwa kwenye mapipa maalum, baadae ndio zinanunuliwa na makampuni wa urembo kisha hutengenezwa wigi. Na wanasema katika mtandao makampuni haya kuwa wanatengeneza haya mawigi, kwa watu wanaojiona duni vile Mungu amewaumba, ili wafunike nywele zao kwa kuvalia wigi juu yake.
BIBLIA INASEMA NINI JUU YA KUTOA SADAKA KWA MIUNGU
MUNGU anasema watu wanaotoa sadaka kwa miungu wanatoa kwa kwa mashetani na anatuonya vitu vyote vilivotolewa sadaka kwa mashetani tusivishiriki kwa namna yeyote {1WAK 10:14,19-22, KUM 32:17, ZAB 106;37}
Watu zaidi ya million 20 hukatwa nywele zao katika hekalu hilo kila mwaka, sasa emu tujiulize ni wanawake wangapi wanavaa hivo nywele bandia leo? Ni wangapi wanaingia makanisani na nywele zilizotolewa sadaka kwa miungu? Ni Mungu yupi wanaemwabudu, aliewapa nywele wakaona hazifai au wale miungu wanaotolewa sadaka za nywele?
Kwa kuvaa wigi hata kama umeokoka unajiungamanisha moja kwa moja na ibada ya miungu na wengi sana ni vipofu katika hili BWANA ATUSAIDIE KIZAZI HIKI,WENGI WANAPOTEA!!
Mwanamke nywele ni fahari (utukufu)kwako katika uhalisi wake 1WAK 11:15. Unapovaa nywele za mtu mqingine maana yake unaungamanishwa nae katika ibada yake angalia KUMBUKUMBU 7:26. BWANA AKUPE UFUNUO ILI UTOKE KATIKA KUABUDU MIUNGU, NA UMUABUDU MUNGU ALIEKUUMBA HIVO ULIVO.
GO NATURAL,AMEN.
No comments:
Post a Comment